Elewa kuhusu insulin resistance

 Insulin na insulin resistance ni vitu gani?

Insulin ni homoni mwilini mwako inayosaidia kudhibiti kiwango cha sukari katika damu tofauti na homoni zingine homoni ambazo nyigi hugusa sehemu fulani pekee homini huu hugusa kila seli mwilini mwako ,yaani baada ya wewe kula homoni hii huachiliwa katika damu na husaidia kupandisha sukari ya damu yaani ‘glucose” ili ipate kutumika na seli zote mwilini mwako

“Insulin resistance” ni pale ambapo insulin ipo lakini haiwezi kufanya kazi yake ipasavyo yaani haipandishi sukari ya damu ili itumike na seli mablimbali za mwili wako na kudhibiti sukari ya damu matokeo yake ni kwamba kunakuwa na kiwango kikibwa cha sukari  katika damu  hiki ndio chanzo cha magonjwa sugu mengi

Nini chanzo cha insulin resistance?

Japo hali hii inaweza kuchangiwa na genes na urithi lakini sababu hizi pekee haziwezi kueleza vya kutosha kwanini kumekuwa na ongezeko kubwa sana la magonjwa sugu kila mwaka watu takriban milioni 10 hufariki kutokana na saratani,milioni 20 kutokana na magonjwa ya moyo

Sababu hizi za genes na urithi haziwezi kueleza ni kwanini kumekuwa na ongezeko kubwa namna hii katika miaka michache tu

Huenda kuna sababu nyingine ukiachana na hizi mbili ambazo zimechangia na kuendesha ongezeko la matatizo haya

Mabadiliko makubwa sana katika kile ambacho tunakila na mfumo wa maisha una mchango mkubwa sana katika ongezeko la magonjwa haya sugu nasema hivyo kwa ujasiri hasa katika mazingira yetu haya ya kiafrika kwani wakati nchi za ulaya na marekeni zilipoanza kukutana na matatizo haya walianza kutafiti kinachioendelea huku kwetu waliangalia nchi mbalimbali za afrika jamii na makabila mbalimbali walishangazwa kwani walikuta viwango ni vidogo sana na kuna jamii hazikuwa na magonjwa hayo kabisa hivyo basi magonjwa haya sababu zake ni chache sana kuhusu genes na urithi na nyingi kuhusu kubadilika kwa mitindo yetu ya kimaisha na vyakula na vitu ambavyo vipo katika mazingira yetu taka hewa na mengine mengi

Ambayo yameamsha vitu ambavyo vinatusababisha kupata magonjwa haya

Health Talks... Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...